Breaking News

:

JE FEZA KESSY KUACHANA NA ONEIL?


Hili ni swali linaloweza kuwa vichwani mwa wengi kuhusiana na uchumba wa mastar wa big brother africa-BBA, Feza kessy kutoka Tanzania na Oneil kutoka Botswana, hii ni kutoka na kuvunjika kwa penzi la washiriki wengine waliokuwa ndani ya jumba hilo kubwa Beverly Osu kutoka Nigeria na Angelo Collins kutoka South African, kwa Habari alizopenyeza Bev kuwa Angelo amerudiana na girlfriend, Candice Arends ingawa wiki chache ziizopita Angeo alikuwa Nigeria aipokwenda kumtembelea Beverly.