Yule mkali wa nyimbo kama feel so good, welcome back, look at me na nyingine nyingi Mason Durell Betha aka Ma$e ametangaza kuachia albam yake hivi karibuni, hayo aliyasema katika page yake ya twitter, just wait ujio mpya wa ma$e.
MA$E KATANGAZA KUACHIA ALBUM MPYA SOON
Reviewed by eltonamana
on
6:29 PM
Rating: 5