RAIS KIKWETE AONGEZA SIKU 14 KWA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA.
![]() |
JAKAYA MRISHO KIKWETE |
Jakaya Kikwete ili kuiwezesha tume hiyo kumaliza kazi zake vizuri, ikumbukwe ya kuwa baada ya kifo cha Dkt Mvungi, Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba alitangaza kusitishwa kwa muda shughuli za Tume hiyo. Kwa sasa Tume itamaliza kazi yake, Desemba 30, mwaka huu badala ya Desemba 16 ambapo tume hiyo ilipaswa kumaliza kazi yake.